‘Karibu Waniue Kule Kwa Chebukati!’ – Natembeya Claims Gov’t Planned To Kill Him
Trans-Nzoia Governor George Natembeya has made extremely shocking statements.
Natembeya has boldly claimed that the government staged an assassination attempt on his life during the funeral of former Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) chairperson Wafula Chebukati.
Speaking during a fertilizer distribution event in Trans Nzoia on Friday, March 28, 2025, Natembeya claimed that he is a target because of his ongoing criticism of President William Ruto’s administration.
“Serikali sio mzuri, serikali iko na watu wabaya. Juzi kule kwa Chebukati karibu waniue huko. Wakaweka majangili huko… Hapo ndo niliona hii majamaa wanaweza kuniua wakati wowote,” Natembeya declared.
“Na mimi nimekubali watu yangu bora ata mimi nikienda hii mbegu ambayo napanda kwa roho zenu isikufe, tumeelewana watu yangu?”
“ Hata Rais mwenyewe akiamua kuwa Waziri wa Afya hatawezana na SHA” Governor George Natembeya pic.twitter.com/zc3g6vugMx
— Georgie Natembeya EBS (Commentary) (@G_Natembeya026) March 28, 2025
He also claimed that the government engaged in assassinations.
“Hio ndo ukweli, hio ndo ukweli serikali inauanga watu mimi najua wanaweza maliza mimi. Lakini ata mimi nikienda, watu yangu mukumbuke Natembeya alituambia kitu fulani,” he stated.
Furthermore, despite the threat to his life, Natembeya stated that he does not fear the president and will continue to criticize the government.
“Kama munataka kunikujia munikujie lakini haki Kenya lazima itendeke. Mweshimiwa rais serikali inamusumbua. Anavunja baraza ya mawaziri kila siku. Inua mkono 2027 achia mtu ambaye anaweza kuongoza taifa la Kenya,” he said.
ALSO READ:
- “NO MORE NIL TAX RETURNS!” – KRA Tells Kenyans, Introduces New Changes
- Eliud Owalo Blasts Ruto Gov’t, Demands EACC & DCI Investigations Into Fake Sugar Scandal
- President’s Office Releases 2026 National Holidays Calendar, Names Host Counties
- Kenya Goes After British Oil Giant Over Hundreds Of Deaths In The North
- KDF Soldier Arrested Over Wife’s Murder in Nakuru
Natembeya added that; “Mimi situkani yeye,rais lazima tukuheshimu maana ni rais wa Kenya. He is our president tunampenda lakini lazima tumuambie kama kuna makosa maana rais ni mwanadamu.
“Anakula chakula kama mimi, anakunywa maji kama mimi, anaota ndoto kama mimi, analala kwa blanketi kama mimi, alizaliwa na mwanamke kama mimi. Tunaogopana kwa nini. Ata mimi sitaki nyinyi wananchi wa Trans Nzoia muogope mimi maana mimi ni binadamu.”
“Chukueni vitambulisho kwa fujo, tuchunge taifa letu la Kenya “-Gvn Natembeya pic.twitter.com/3IOli2VIZG
— Coletta Aluda (@Colettaaluda_1) March 28, 2025
On March 8, 2025, Chebukati’s funeral was held in Sabata village, Kiminini Constituency, Trans Nzoia county, and was attended by various political figures, including National Assembly Speaker Moses Wetang’ula.
Despite their long-standing animosity, Wetang’ula and Natembeya were friendly, in sharp contrast to their customary public spats.
‘Karibu Waniue Kule Kwa Chebukati!’ – Natembeya Claims Gov’t Planned To Kill Him
